CRDB KUSAIDIA WAJASIRIAMALI KWA MIKOPO NAFUU

Sikiliza Hekima na Busara za Riziki Shahari na Zitto Kabwe Bungeni

Mbunge wa Viti Maalum CUF, Riziki Shahari, ametema cheche bungeni kuhusu
kuwasilishwa kwa muswada wa mabadiliko ya sheria za maliasili,
akilalamika kwamba uamuzi wa mheshimiwa rais wa kuwasilisha muswada huo
bungeni kwa hati ya dharura, haupo sahihi kwa sababu muda uliotolewa
kujadili ni mfupi.
Mbunge huyo aliendelea kuhoji, iweje nchi ambayo ina wasomi, wanasheria
na wataalamu, ikubali kupumbazwa na wajanja wachache kwa kutumia
mikataba ambayo imepitishwa na bunge la jamhuri ya Muungano wa Tanzania.