HEKAHEKA: Mume ataka kumchinja mkewe Kigoma, kisa..?

Hekaheka ya leo May 31, 2017 imetokea Kigoma ambako mwanamke mmoja amenusurika kifo baada ya kutaka kuchinjwa na mumewe kwa sababu ya wivu wa kimapenzi baada ya mwanamke huyo kusalimiana na mwanaume barabarani.

No comments: