UPDATES:IDARA YA UN YAHIMIZA KUTOA MSAA KWA BARA LA AFRIKA

Shirika la umoja wa afrika UN pamoja na shirika la chakula duniani lahimiza kuwa lazima misaada ya chakula lazima itolewe kwa nchi  za afrika kwani inasemekana sehemu kubwa ya sehemu ya bara la afrika limekumbwa na baa la njaa.

No comments: