MALAIKA-"Nilifeli Kidato cha 4 lakini sio mwisho wa maisha"

May 26, 2017 Mwimbaji staa kutoka Bongoflevani Malaika ambaye siku chache zilizopita alikuwa kwenye headlines kufuatia kufanya show Marekani amefunguka kuhusu maisha yake ambapo amegusia kuhusu elimu yake akisema alifeli Kidato cha Nne.

No comments: