breaking news:Mvua Kubwa Yatikisa Dar... Maji Yavamia Makazi ya Watu

bmvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo tofauti tofauti nchi zaendelea kuleta mazara makubwa kwa wakazi wa maeneo husika.leo mvua zinazoendelea kunyesha zimeshaleta mazara makubwa kwa wakazi wa mkoa wa dar es salaam kwani maji yanaingia kwenye majumba ya watu .

No comments: