NEWS:Mapendekezo 9 JPM ameyapitisha kutoka Kamati ya mchanga wa madini

Leo May 24, Ikulu Dar es salaam Rais Magufuli amepokea ripoti ya Kamati Maalum iliyoteuliwa na Rais kuchunguza mchanga wa madini kwenye makontena 277 yaliyozuiwa na serikali kusafirishwa kwenda nje kwaajili ya uchenjuaji.


Kamati hiyo iliyoongozwa na Mwenyekiti wake Prof. Mruma imemkabidhi ripoti iliyoonesha kuna upotevu mkubwa wa mapato na rasilimali za nchi, ambapo ripoti imesema Tanzania inapoteza kiasi cha Tsh. Bilioni 829.4 hadi Trilioni 1.439 kwa kusafirisha mchanga nje ya nchi.

No comments: