Serikali imetoa ofa ya siku 3 nchi nzima Tanzania


Serikali imetangaza kuanzia June 2 hadi 4, 2017 Watanzania wataingia bure katika Mbuga na Hifadhi za Wanyama nchini kote ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku ya Mazingira Tanzania ambayo itafanyika kitaifa Butiama mkoani Mara

No comments: