HALIMAMDEE AZUNGUMZIA MIGOGORO YA ARDHI

Mbunge wa jimbo la kawe Halima Mdeee amekuta na staili ya aina yake
alipokuwa akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya wizara ya ardhi,
Nyumba na maendendele ya Makazi akieleza kuwa yupo kijimbo jimbo kwani
wananchi wa Kawe ndiyo wanaomuweka mjini.

No comments: