SAKATA LA KUIBIWA MTOTO: Waziri Ummy aunda Tume Huru kuchunguza

Siku zimepita tangu sakata la Mwanamke mkazi wa Dar es salaam aitwae Asma kudai kuibiwa mtoto ambaye inadaiwa wakati akifanyiwa Ultra sound alikua na ujauzito wa Watoto mapacha lakini alipokwenda kujifungua aliambiwa amejifungua mtoto mmoja

No comments: