update:Kila mtu anatakiwa kula kilo 20 za samaki - Ngwali


hii hapa kauli aya muheshimiwa ngwali Mbunge wawi Ahmad Juma Ngwali amekerwa na serikali kupoteza mapato mengi
bahari kuu akisema kuwa kitendo hicho hakikubaliki na kuitaka wizara ya
Kilimo, Mifugo na Uvuvi kuja na mikakati ya kuinua sekta hiyo

No comments: