Majibu ya Makonda kuhusu Vyeti Feki haya hapa

Hatimaye Paul Makonda mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam amejibu tuhuma za kuwa na vyeti feki hadharani baada ya kuulizwa swali hilo na Mwanafunzi wa chuo. Majibu ya Paul Makonda kuhusu Vyeti vyeti bado ya ukakasi kuhusu tuhuma hizo zinazomkabili.

No comments: