breaking news:mbunge wa mlalo alia na bei ya tangawizi

Mbunge Wa Mlalo Mhe. Rashid Shangazi Amelalamikia Bei Ya Tangawizi Sokoni Ambayo Inasababisha Wakulima Kupata Hasara.
Ikumbuke
Tangawizi ni Zao Ambalo Linalimwa Kwa Wingi Wilayani Lushoto Na Maeneo
mangine Nchi Kama Kigoma Tangawizi Ni Kiburudsho Katika Chai Pia
Inatumumika Katika Matumizi Ya Dawa Pamoja Na Kuleta Radha Katika
Chakula

No comments: