updates:ROMA Alivyochana Mbele ya Magufuli Leo

mwanamziki roma jana alitumbuiza mbele ya raisi john pombe magufuli.akiwa mbele ya viongozi wegi wakubwa wa nchi ktika moja ya mikutano uliofanyika ikulu.tumbuizo hilo liliambatana na riport kuhusu mchanga wa dhahabu ambayo ilikuwa inawakilishwa mbele ya raisi baada ya uchunguzi

No comments: