news:KAULI YA NIYONZIMA BAADA YA KUPEWA TUZO

Tuzo za wachezaji bora VPL, zimezidi kuwa gumzo ambapo Mchezaji Haruna Niyonzima wa Klabu ya Yanga, yeye alinyakua tuzo ya mchezaji bora wa kigeni. Global Tv Online ilipiga naye stori mbili tatu akiwa na mkewe kwenye ukumbi wa Mlimani City.mchezaji huyo ambaye ndiye fundi kwenye kikosi cha yanga aelezea mtarajio  kwenye ligi kuu bara inayokuja

No comments: