Tanzania ya viwanda iende sambamba na kuimarika kwa kilimo, Wabunge

Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wameonyesha wasiwasi
wao kuhusu kutekelezwa kwa sera ya Tanzania ya viwanda kwani serikali
haijaonyesha nia ya dhati ya kuinua kilimo nchini. wabunge hao waendelea kusisitiza kuwa tanzania inahitaji fikra mpya kwa watanzania wake ili maendelea yaweze kuwa na tija kwa taifa                                                 

No comments: