UPDATES:Wizara Ya Mambo Ya Nje Yaomba Kiasi Cha Bilioni 150

Bunge La Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania Linaendelea Leo Tarehe 29/05/2017 Ambapo Wizara Ya Mambo ya Nje Na Ushirikiano Wa Afrika Mashariki Imewasilisha Makadilio Ya Mapato Na Matumizi Ya Bajeti Ya Wizara Hiyo Kwa Mwaka Wa fedha 2017/18 Ambazo Ni Kwa Ajiri Ya miradi Ya Maendeleo Na Matumizi Ya Kawaida

No comments: