Serikali Yaajiri Waalimu Wa Sayansi Na Hisabati 4,129.

Akijibu Hoja Za Wabunge Baada Ya Mjadala Wa Bajeti Ya Wizara Ya Elimu
Sayansi Na Teknorojoa Mhe, Stella Manyanya Amesema Kufatia Upungufu Wa
Walimu Wa Sayansi Serikali Wameajiri Walimu 4,129 Ambao Wamepelekwa
Katika Sule Mbaimbali Nchini

No comments: