Mastaa walivyoguswa na kifo cha Ivan mume wa zamani wa Zari

Siku chache baada ya kuwepo taarifa za kuugua ghafla kwa Ivan Semwanga
a.k.a Ivan the Don, mfanyabiashara maarufu nchini Uganda na mzazi mwenza
wa mrembo Zari The Boss Lady, leo May 25, 2017 imeelezwa kuwa tajiri
huyo kijana amefariki dunia.

No comments: