Msimamo wa Chadema Kuhusu Sakata la Mchanga wa Dhahabu


Freeman Mbowe, ametoa msimamo wa Chadema kuhusu sakata la mchanga wa dhahabu ambapo amefunguka kuwa kinachoendelea sasa kuhusu ufisadi huo, ni matokeo ya sera mbovu za serikali inayoongozwa na CCM

No comments: