Kimenuka, Mwanamke Aliyeibiwa Mtoto, Ummy Mwalimu Asema Kinachoendelea

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amefunguka yanayoendelea sakata la mwanamke aliye dai kuibiwa mtoto mara alipokuwa kujifungua na kujikuta na mtoto mmoja hali yakuwa alikuwa akijua kuwa ujauzito wake ulikuwa wa watoto mapacha kutokana vipimo alivyovifanya alipokuwa mjamzito.

No comments: