UFAFANUZI: Tetemeko la Ardhi lililotokea Kanda ya Ziwa

May 25 2017 ziliripotiwa taarifa za kutokea tetemeko la Ardhi Kanda ya
Ziwa ambako Askari mmoja amefariki kutokana na mshtuko katika Wilaya ya
Misungwi ambako Mganga Mkuu wa Wilaya hiyo amethibitisha kuupokea mwili
wa Askari huyo.

No comments: