breaking news:Wizara ya Maliasili yataja mahitaji yake ya Fedha 2017/18


leWaziri wa Maliasili na Utalii Prof. Jumanne Maghembe leo May 23, 2017
amewasilisha Bungeni Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha ya Wizara
hiyo kwa mwaka wa fedha 2017/2018 ambapo ameomba kutengewa Tsh. 148.5b.o hii wizara ya maliasi na utalii yapitisha bajeti yake kwa mwaka 2017/2018.

No comments: