update:majambazi sugu kutoka tegeta wauwa

hali katika jiji la dar es salaam kwa sasa ni mbaya kwani majambazi wanendelea kuibuka katka kila kona ya jiji hili wakitaka kuporamali za wakazi na wafanyabiashara wa jiji hili.kutoka tegeta polisi wamefanikiwa kuwauwa majambazi wanne ambao walikuwa katika hatua za kufanya ujambazi

No comments: