Cha mwisho alichokizungumza IGP Mangu kabla ya kuteuliwa kwa IGP mpya

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo May 28 2017 amemteua Kamishna wa Polisi Simon Sirro kuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP). Kabla ya Uteuzi huo IGP Simon Sirro alikuwa Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam

No comments: