Baada ya Young Dee Kummwaga, Amber Lulu Afunguka Jinsi Alivyoteseka Kima...

Penzi la Young Dee na Amber Lulu limevunjika lakini bado mwanadada huyo analiwewesekea penzi la mkali huyo wa Bongo Bahati Mbaya ambapo amefunguka kwamba alimpenda sana na hakutegemea kama watamwagana mapema kiasi hicho

No comments: