Kala Jeremiah aikosoa kauli ya Mwakyembe kutoimba Siasa

Hivi karibuni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dr. Harrison Mwakyembe alisimama Bungeni Dodoma na kuwataka wasanii wasijihusishe na kuimba siasa badala yake wajikite kuelimisha jamii kauli ambayo imekuwa gumzo kwa wadau wa muziki.

No comments: