Mambo Sita ya Serukamba kuhusu Wizara ya Fedha 2017/18

Mbunge wa Kigoma Kaskazini Peter Serukamba alikuwa miongoni mwa Wabunge waliopata nafasi ya kusimama Bungeni May 30, 2017 kuwasilisha Mapendekezo katika Bajeti ya Wizara ya Fedha na Mipango kwa mwaka wa fedha 2017/18 ambapo amependekeza mambo sita ya kufanyiwa kazi.

No comments: