updates:sport pesa waanzisha mashindani yao ambayo yataanza mwishonimwa mwezi huu

baada ya kuzizamini timu tu za ligi kuu bara tanzania simba,yanga na singida united.leo sport pesa wameamua kuanzisha mashindano yao ambayo yanatarajia kuanza mwishoni mwa mwezi huu.mashinsani hayo yatashirikisha timu kutoka tannzania bara ambazo ni simba,yanga na singida united huku kutoka zanzibar kutakuwa na jagombe boys na timu nyingine ni kutoka kenya ambazo ni gormahia

No comments: