updates:Tuzo za Wachezaji Ligi Kuu, Tshabalala, Niyonzima, Kichuya, Mbaraka, Msu...

Tuzo za wachezaji wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara, jana zilitolewa katika hafla iliyofanyika Jumatano katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam ambapo wachezaji mbalimbali na makocha waling'ara.wachzaji kama haruna niyonzima kwa yanga,Tshablal wa simba wang'aa kwenye tuzo hizo za ligi kuu bara

No comments: