Walichokisema Wananchi wa Mkuranga Kufuatia Kamanda Sirro Kuapishwa kuwa...

Kufuatia kuapishwa kwa IGP Simon Sirro, wakazi wa Mkuranga mkoani Pwani, wameelezea hisia zao kuhusu uteuzi huo uliofanywa na Rais John Pombe Magufuli wa kumteua mkuu huyo mpya wa polisi.

No comments: