updates:Muelekeo Wakupungua Matatizo ya Moyo Yanayowakabili Watoto Wadogo

gundua mueleko wa kupungua kwa ugonjwa wa moyo kwa watoto walio chini ya miaka mitano.wakisema hayo vingozi hao waliobobea katika maradhi hayo wanasea wanatarajia kufanya ziara zanzibar kufanya uchunguzi na baada kuja kufanya uchaguzi kwenye baadhi ya mikoa na kuangalia ni sehemu gani inatakiwa iwekewe kipaumbele

No comments: