New:Rais alani kupigwa risasi kwa mheshimiwa Tundu Lissu

Baada ya kupata taarifa ya kupigwa kwa mbunge wa singida mashariki mheshimiwa Tundu Lissu.Mheshiwa Raisi kupitia ukurasa wake wa twitter amelaani vikali tukio hilo.
kwa taarifa mpya za kila muda nikuombe ndugu  mfuatiliaji wa blog hii nikuombe uni follow kwenye account zangu za facebook pia nikuombe ujisajili kwenye account yangu ili uweze kupata latest news

No comments: