GWAJIMA ATAJA WOTE WALIOTAKA KUMUUA LISSU (Kimenukaaaa!!)

inawezekana ulikuwa umepitwa na taarifa hii.ila kama unavyojua kwanguleo blog inalusogezea taarifa hizi ili na wewe uwe karibu na nchi yako.leo hii kilichojiri mtandaoni hasa youtube ni hii ya mchungaji gwajima ambaye anasema anawajua wote waliofanya shambulia lililotokea kwa mbunge wa singida mashariki ambaye pia ni rais wa tpl mheshimiwa Tundu lissu

No comments: