IJUE SABABU YA KOCHA WA NJOMBE MJI KUONDOKA




Aliyekuwa Kocha Mkuu wa Klabu ya Njombe Mji, Hassan Banyai amefunguka kueleza sababu zilizo mpelekeakuchgukua uamuzi wa kuachana na timu hiyo.
Banyai amesema sababu kubwa iliyopelekea yeye kuondoka ni kutishiwa maisha na watu waliokuwa wanamuambia aawaachie timu yao.
Hata hivyo, Banyani aliongeza kuwa katika timu ya Njombe Mji hakukuwa na utaratibu mzuri hasa wa kuheshimu taaluma pamoja na viongozi mbali mbali wa timu hiyo na badala yake kila mtu alikuwa anaingilia majukumu ya mwenzake suala ambalo kocha huyo hakulipenda..

No comments: