HUYU HAPA SHABIKI WA MAJIMAJI ALIYEMROGA AJIBU NA TSHISHIMBI

Najua unaweza kushangaa kuhusiana na hili ila ndio kilichotokea.Mmoja wa mashabiki wa timu ya majiamaji anashutumiwa kuwaroga wachezaji wawili wa club ya yanga sports club wakati wa mchezo baina ya timu hizo mbili

No comments: