Msanii wa muziki wa Pop nchini Marekani Rihanna Fenty ametoa ya moyoni kuhusu wachezaji wa soka ambao anawazimikia na kuwakubali kwa kile wananchokifanya katika soka.
Rihanna amesema kuwa kama ingekuwa kuolewa na mchezaji wa soka duniani basi angemchagua staa wa zamani wa klabu ya Manchester United na Real Madrid , maarufu kama David Beckham
Pia amesema kwa soka la sasa anamkubali sana Cristian Ronaldo na kumuweka pembeni Lionel Messi.
Msanii huyo amedai kuwa Beckham alimfanya apende soka na angekubali kuolewa na mchezaji huyo lakini aliwahiwa na Poah Spice  mke wa Bechkam, Victoria Beckham.