ZUNGU: 'Hakuna sheria itayotungwa na bunge itakayozuia mimba mashuleni'

kwako kija mwenzangu ambaye unatarajia kupata kazi pindi pale utakapomaliza elimu yake ya chuo,sasa mpya ni hii kuwa usitarajie kuwa utapata kazi mara baada tu utakapo maliza elimu.mheshimu idd azani zungu asema hayo kwenye moja ya maafali yaliyofanyika ili kuwaaga wahitimu wa shule ya babra.huku akisema hakuna sheria itakayotungwa kuhusuana na mimba

No comments: