WAKULIMA WA PAMBA, CHAI, KAHAWA,TUMBAKU, KOROSHO KUNUFAIKA, WAZIRI MKUU

Wakati takwimu zikionyesha kuwa asilimia sabini na tano ya watanzania wanajishughulisha na shughuli za kilimo huku, wakikabiliwa na changamoto mbalimbali za uendeshaji wa shughuli zao, waziri mkuu Kassim majaliwa amesema kwa sasa wameamua kuchukua hatua za kukabiliana na changamoto hizo

No comments: