Upelelezi wa kesi ya Halima Mdee wa kumtolea lugha ya matusi Magufuli u...

Leo September 12 2017 upelelezi wa kesi ya kumtolea lugha ya matusi Rais John Magufuli inayomkabili Mbunge wa Kawe Halima Mdee umekamilika katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

No comments: