MWANZO-MWISHO: Mbunge Mnyika alivyotolewa Bungeni na Askari

Moja ya stori kubwa kutokea Bungeni Dodoma leo June 2, 2017 ambayo ina-make headline ni Wabunge wa Upinzani kususia Vikao vya Bunge hatua iliyokuja baada ya agizo la Spika Job Ndugai kumsimamisha Mbunge wa Kibamba John Mnyika kutoshiriki Vikao vya Bunge kwa muda wa wiki moja kutokana na utovu wa nidhamu aliouonesha mbele ya Bunge na kuwaagiza Polisi kumtoa nje.

No comments: