Steve RNB afunguka kuhusu ukimya wake, ujio mpya

Mwimbaji staa wa RNB Tanzania ambaye alikuwa kimya kwa muda mrefu Steve RnB amekaa kwenye EXCLUSIVE interview ya Ayo TV na millardayo.com na kueleza ni kwa nini amekuwa kimya kwenye muziki, changamoto alizopitia kwenye ndoa hadi kuachana na mkewe pamoja na safari za nje.

No comments: