Saida Kalori arudi kivingine kushirikiana na Diamond,Bell 9 na Darassa

Mwanamuziki mkongwe wa nyimbo za asili nchinI Tanzania Saida Kalori ameamua kurudi upya ,Baada ya kuona Wanamuziki wa bongo fleva wanakopi nyimbo zake bila ya yeye kufaidika na chochote ,Kwa sasa ametoa nyimbo yake inayoitwa "O'RUGAMBO"

No comments: