Afya Microfinance Project Inavyonufaisha Sekta za Afya Vijijini

Afya Microfinance Project kwa udhamini wa UK AID wameamua kutoa misaada kwa wakazi wa vijijini ambao wamekuwa wakisumbuliwa na hata kupoteza maisha kwa ugonjwa wa Malaria, Je, ungependa kujua ni kwa njia gani misaada hiyo inatolewa? itazame video hii mpaka mwisho kujionea mwenyewe

No comments: