Usain Bolt ajitayarisha kustahafu Ogusti,2017



Mwanariadha mashuhuri Usain Bolt bingwa wa dunia wa mita 100 na 200, ameanza kuwaaga mashabiki wake kabla ya kustahafu wakati wa mashindano ya riadha duniani mjini London Ogusti 5 hadi Ogusti 13, 2017.

No comments: