“Kokoro ya Mavoko, Diamond imenitenganisha na Alikiba” – Abydad

Story ambayo ilikuwa gumzo miezi michache iliyopita ni kuhusu Producer Abydad kutoendelea kufanya kazi tena na mwimbaji staa Alikiba licha ya kumtayarishia hit songs kadhaa kama vile Chekecha na Aje ambazo zinafanya vizuri hadi leo.

No comments: