Waziri Mpango kuhusu Serikali kufuta kodi za magari

Waziri wa Fedha na Mipango Philip Mpango aliwasilisha Bungeni Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha ya Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2017/2018 ambapo kati ya vitu vilivyoshangiliwa zaidi na Wabunge kwenye Bajeti hiyo ni pamoja na kufuta kodi za magari barabarani yaani Road License

No comments: