BREAKING: Maamuzi ya Halima Mdee na Bulaya baada ya kutupwa nje ya Bunge...

Jumatatu June 5, 2017 iliripotiwa taarifa za kusimamishwa kuhudhuria vikao vya Bunge kwa Wabunge Halima Mdee na Ester Bulaya hadi Bunge la Bajeti 2018/2019 Halima Mdee na Ester Bulaya, AyoTV na millardayo.com zimewapata Wabunge hao.

No comments: