Good News ya Fifa iliyoufikia Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza

Uwanja wa michezo wa CCM Kirumba uliopo Mwanza umepewa hadhi ya kuwa Uwanja wa Kimataifa na tayari Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani FIFA limeagiza maboresho ndani ya Vyumba vya kubadilishia nguo… Ayo TV na millardayo.com zimempta Katibu wa CCM Mwanza Raymond Mwangwala ambaye pamoja na mambo mengine ameelezea deni la Simba SC na Yanga SC.

No comments: