Kisa cha majibizano ya Diamond Platnumz na Zari kwenye mtandao

Katika stori zinazotrend kwenye mitandao ya kijamii ni pamoja na majibizano kati ya Diamond Platnumz na Zari kwenye Instagram baada ya Diamond kupost picha ya Zari akiwa kwenye swimming pool na mwanaume mwingine na kuonyeshwa kukasirika na baadae Zari akajibu

No comments: