"Hawa wapinzani hawaeleweki kama Popo" – Ulega

Baada ya Rais JPM kukutana na kufanya mazungumzo na Mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni ya Barrick ya Canada Prof. John L. Thorton kitendo hiko kimepongezwa ambapo miongoni mwa waliotoa pongezi kwa JPM ni Mbunge wa Mkuranga Abdallah Ulega ambaye amemwagia sifa kwa kitendo hiko.

No comments: